Monday, December 16, 2019

Njia Panda/ Crossroads

Unajua ground ikiteleza
watu hutafuta mwenye amemwaga maji!
Kumbe ni enemy ameifanya terrain ikuwe slippery!
Ile story King kaka aliwaambia ni truth.
Lakini  conversations za truth ni ngumu kuput through.

Kama wewe uko hapo base level
Hakuna vile unaweza kuwa different na mawazo yako
Thoughts are things ndivo sages hutwambia.
Itakuwaje wanaotuongoza ni mafia halafu sisi ni holy?
Sasa hii kitu tulishaiona kwa umbali!
Lakini tumeogopa for long coz hatuna guts za kuiita bluff!

Kama Martin Luther angenyamaza ,
American blacks hawangekuwa na voting rights.
Ilibidi Mandela apigane na Injustice,
Ndio black Southafricans wapate equal privileges
Mambo Kenya haitakuwa any different tukikaa silent,
Hii ndio reason investments zinaenda Kigali,
Juu hakuna kitu kama corruption hapo!

Hizi ills sasa ziko entrenched kwa system yetu,
Lakini system si mbaya ni watu wamerot kutoka upstairs.
You see hata samaki mbaya huharibika starting from the head.
Hii kuwa optimistic kwamba mambo itabadilika ni illussion!
Ni kama daydream!
Inahitaji wale wachache wako upright kusimama,
Bila kuuliza 'what is there for me'

Swahili shakespeare aliwaambia nyinyi ni forgetful tu sana.
Vice moja huondolewa na ingine,
Injustice ya saa hizi huwa inafutwa na ingine.
Hawa washajua sisi ni kama ngiri,
Hatukumbuki tulichofanyiwa Jana,
Tukilia njaa tunapunguziwa bei ya unga,
Saa hio ni mdosi fulani anatafutiwa tender za kuimport cheap maize.

Sijui solution ni kuunda Kangaroo courts
Zichukue place ya justice system?
Ukifanya vibaya unaadhibiwa hapo hapo!
Labda wakifeel pain wataacha kuruin country.
Nimesema nichanganye lugha labda mtaelewa hivo,
Kwa sababu tuko kwa crossroads.
Na mnajua njia panda vile ilimfanya fisi



Tuesday, December 3, 2019

Days Of Old

And now am back to here,
where we trace the roots,
And remember beautiful old-time fantasies.
Like watching our shadows in the clear stream.
What can beat the ryhthms of the river waters,
Going doing to an unknown destination.
You remember the Mathioya moments,
That was our version of going out.
Whats more satisfying?
Than hearing the lush sound of reeds beside the river waters,
Looking like the place where Moses was hidden,
Ooooh,and the sound of pebbles as they go down,
I can remember,
Because all of me is still country.
The city with its heights scares me.
I still haven't got used to the neon lights!
And i still treasure the fishing line,
What about the thrill of a new catch!
I still wear pepe jeans like they do in the country
And i don't give a damn wearing my safari boots often
When you watch the lilies by the bank of the river,
and they are supple because they've drank long from its waters,
There is no other beauty you can compare.
The  trees know no other time but spring,
So they flower and flower
And all these make manifest the glory of God,
And yes they liberated us to dream and dream,
They lit our candles then as they still do.
For that reason,tomorrow is such a long time coming,
Before i get back to this beauty of old.